1
Marko 15:34
Swahili Revised Union Version
Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
Compare
Explore Marko 15:34
2
Marko 15:39
Basi yule kamanda, aliyesimama hapo akimwelekea, alipoona ya kuwa alikata roho jinsi hii, akasema, Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.
Explore Marko 15:39
3
Marko 15:38
Pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu hadi chini.
Explore Marko 15:38
4
Marko 15:37
Naye Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.
Explore Marko 15:37
5
Marko 15:33
Na ilipokuwa saa sita, palikuwa na giza juu ya nchi yote, hadi saa tisa.
Explore Marko 15:33
6
Marko 15:15
Pilato kwa kupenda kuwaridhisha watu, akawafungulia Baraba; akamtoa Yesu, baada ya kumpiga mijeledi, ili asulubiwe.
Explore Marko 15:15
YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy
Home
Bible
Plans
Videos