1
Zab 36:9
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
SUV
Maana kwako Wewe iko chemchemi ya uzima, Katika nuru yako tutaona nuru.
Compare
Explore Zab 36:9
2
Zab 36:7
Ee Mungu, jinsi zilivyo na thamani fadhili zako! Wanadamu huukimbilia uvuli wa mbawa zako.
Explore Zab 36:7
3
Zab 36:5
Ee BWANA, fadhili zako zafika hata mbinguni, Uaminifu wako hata mawinguni.
Explore Zab 36:5
4
Zab 36:6
Haki yako ni kama milima ya Mungu, Hukumu zako ni vilindi vikuu, Ee BWANA, unawaokoa wanadamu na wanyama.
Explore Zab 36:6