1
Mika 7:18
Neno: Bibilia Takatifu 2025
NENO
Ni nani Mungu kama wewe, ambaye anaachilia dhambi na kusamehe makosa ya mabaki ya urithi wake? Wewe huwi na hasira milele, bali unafurahia kuonesha rehema.
Compare
Explore Mika 7:18
2
Mika 7:7
Lakini mimi, namtazama BWANA kwa matumaini, namngoja Mungu Mwokozi wangu; Mungu wangu atanisikia mimi.
Explore Mika 7:7
3
Mika 7:19
Utatuhurumia tena, utazikanyaga dhambi zetu chini ya nyayo zako, na kutupa maovu yetu yote katika vilindi vya bahari.
Explore Mika 7:19
Home
Bible
Plans
Videos