1
Yona 1:3
Neno: Bibilia Takatifu 2025
NENO
Lakini Yona alimkimbia BWANA na kuelekea Tarshishi. Alishuka hadi Yafa, ambapo alikuta meli iliyokuwa imepangwa kuelekea bandari ile. Baada ya kulipa nauli, akapanda kwenye meli na kuelekea Tarshishi ili kumkimbia BWANA.
Compare
Explore Yona 1:3
2
Yona 1:17
Lakini BWANA akamwandaa samaki mkubwa sana kummeza Yona, naye Yona alikuwa ndani ya tumbo la samaki huyo kwa siku tatu, usiku na mchana.
Explore Yona 1:17
3
Yona 1:12
Akawajibu, “Niinueni mnitupe baharini, nayo itakuwa shwari. Ninajua mawimbi haya makubwa yamewatokea kwa ajili ya kosa langu.”
Explore Yona 1:12
Home
Bible
Plans
Videos