1
1 Wakorintho 2:9
Neno: Bibilia Takatifu 2025
NENO
Lakini ni kama ilivyoandikwa: “Hakuna jicho limepata kuona, wala sikio limepata kusikia, wala hayakuingia moyoni mwa mwanadamu yeyote, mambo ambayo Mungu amewaandalia wale wanaompenda”
Compare
Explore 1 Wakorintho 2:9
2
1 Wakorintho 2:14
Mtu ambaye hana Roho hawezi kupokea mambo yanayotoka kwa Roho wa Mungu, kwa kuwa ni upuzi kwake, naye hawezi kuyaelewa kwa sababu hayo yanaeleweka tu kwa upambanuzi wa rohoni.
Explore 1 Wakorintho 2:14
3
1 Wakorintho 2:10
Lakini mambo haya Mungu ametufunulia kwa Roho wake. Roho huchunguza kila kitu, hata mambo ya ndani sana ya Mungu.
Explore 1 Wakorintho 2:10
4
1 Wakorintho 2:12
Basi hatukupokea roho ya dunia bali Roho atokaye kwa Mungu, ili tuweze kuelewa kile kipawa ambacho Mungu ametupatia bure.
Explore 1 Wakorintho 2:12
5
1 Wakorintho 2:4-5
Kuhubiri kwangu na ujumbe wangu haukuwa kwa hekima na maneno ya ushawishi, bali kwa madhihirisho ya nguvu za Roho, ili imani yenu isiwe imejengwa katika hekima ya wanadamu bali katika nguvu za Mungu.
Explore 1 Wakorintho 2:4-5
Home
Bible
Plans
Videos