INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA KUMIVoorbeeld

UTABIRI WA KUFA KWA YESU NA KUFUFUKA
31 Yesu akawachukua wale wanafunzi wake kumi na wawili kando na kuwaambia,
“Tunapanda kwenda Yerusalemu na kila kitu kilichoandikwa na manabii kumhusu Mwana wa Adamu kitatimizwa.
32 Kwa kuwa atatiwa mikononi mwa watu wasiomjua Mungu, nao watamdhihaki, watamtukana na kumtemea mate, watampiga mijeledi na kumwua.Siku ya tatu atafufuka.”
34 Wanafunzi wake hawakuelewa mambo haya, kwa kuwa maana yake ilikuwa imefichika kwao, nao hawakujua Yesu alikuwa anazungumzia nini.
Skrif
Aangaande hierdie leesplan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Verwante Leesplanne

Die krag van ’n biddende vrou

Net ek en U Here, getrouheid in die geheime plek - PC Pretorius

Lewe ek in die Lig van God se Waarheid

Die sin van die lewe

Die deur is toe; wat nou?

Die Troos van die Psalms in die Stryd van die Lewe

Tye van groei

Is ek sout en lig soos die Woord van my vra?

7 Lewensbesluite vir geestelike krag
