YouVersion embleem
BybelLeesplanneVideo's
Kry die toep
Taalkieser
Soek-ikoon

Gewilde Bybelverse vanaf Mwanzo 2

1

Mwanzo 2:24

Neno

NEN

Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, na kuambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.

Vergelyk

Verken Mwanzo 2:24

2

Mwanzo 2:18

Neno

NEN

BWANA Mungu akasema, “Si vyema huyu mtu awe peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kumfaa.”

Vergelyk

Verken Mwanzo 2:18

3

Mwanzo 2:7

Neno

NEN

BWANA Mungu alimuumba mtu kutoka mavumbi ya ardhi, akampulizia pumzi ya uhai puani mwake, naye mtu akawa kiumbe hai.

Vergelyk

Verken Mwanzo 2:7

4

Mwanzo 2:23

Neno

NEN

Huyo mwanaume akasema, “Huyu sasa ni mfupa wa mifupa yangu, na nyama ya nyama yangu, ataitwa ‘mwanamke’, kwa kuwa alitolewa katika mwanaume.”

Vergelyk

Verken Mwanzo 2:23

5

Mwanzo 2:3

Neno

NEN

Mungu akaibariki siku ya saba, akaifanya takatifu, kwa sababu katika siku hiyo alipumzika baada ya kazi zote za kuumba alizokuwa amefanya.

Vergelyk

Verken Mwanzo 2:3

6

Mwanzo 2:25

Neno

NEN

Adamu na mkewe wote walikuwa uchi, wala hawakuona aibu.

Vergelyk

Verken Mwanzo 2:25

Gratis leesplanne en oordenkings oor Mwanzo 2

Vorige hoofstuk
Volgende hoofstuk
YouVersion

Moedig jou aan en daag jou uit om elke dag intimiteit met God op te soek.

Bediening

Iets oor ons

Loopbane

Vrywilliger

Webjoernaal

Media

Nuttige skakels

Hulp

Skenk

Bybelweergawes

Klankbybels

Bybeltale

Vers-van-die-dag


'n Digitale bediening van

Life.Church
Afrikaans (South Africa)

©2026 Life.Church / YouVersion

PrivaatheidsbeleidVoorwaardes
Program vir die openbaarmaking van kwesbaarheid
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest