INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA NANEHalimbawa

YESU AMPONYA KIJANA MWENYE PEPO
37 Kesho yake, waliposhuka kutoka mlimani, alikutana na umati mkubwa wa watu.
38 Mtu mmoja katika ule umati wa watu akapiga kelele, akasema,
“Mwalimu, naomba umwangalie mwanangu, ndiye mtoto wangu wa pekee.
39 Mara kwa mara pepo mchafu humpagaa na kumfanya apige kelele, kisha humwangusha na kumtia kifafa akatokwa na povu kinywani. Huyo pepo mchafu anamtesa sana na hamwachi ila mara chache.
40 Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo mchafu, lakini hawakuweza.
Yesu akajibu akawaambia, “Enyi kizazi kisichoamini na kilichopotoka, nitakaa nanyi na kuwavumilia mpaka lini? Mlete mwanao hapa.”
Hata yule mtoto alipokuwa akija, yule pepo mchafu akamwangusha, akamtia kifafa.
Lakini Yesu akamkemea yule pepo mchafu amtoke, akamponya yule mtoto, akamrudisha kwa baba yake.
43 Watu wote wakastaajabia uweza mkuu wa Mungu.
Banal na Kasulatan
Tungkol sa Gabay na ito

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Mga Kaugnay na Gabay

Masayahin ang ating Panginoon

Ang Kahariang Bali-baliktad

Prayer

BibleProject | Maikling Kurso tungkol kay Apostol Pablo

Ang Kwento ng Naglayas na Anak

Sa Paghihirap…

Nilikha Tayo in His Image

Mag One-on-One with God

BibleProject | Walang-Hanggang Pag-ibig ng Diyos
