INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA KUMIHalimbawa

UTABIRI WA KUFA KWA YESU NA KUFUFUKA
31 Yesu akawachukua wale wanafunzi wake kumi na wawili kando na kuwaambia,
“Tunapanda kwenda Yerusalemu na kila kitu kilichoandikwa na manabii kumhusu Mwana wa Adamu kitatimizwa.
32 Kwa kuwa atatiwa mikononi mwa watu wasiomjua Mungu, nao watamdhihaki, watamtukana na kumtemea mate, watampiga mijeledi na kumwua.Siku ya tatu atafufuka.”
34 Wanafunzi wake hawakuelewa mambo haya, kwa kuwa maana yake ilikuwa imefichika kwao, nao hawakujua Yesu alikuwa anazungumzia nini.
Banal na Kasulatan
Tungkol sa Gabay na ito

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Mga Kaugnay na Gabay

BibleProject | Maikling Kurso tungkol kay Apostol Pablo

Nilikha Tayo in His Image

Mag One-on-One with God

Ang Kahariang Bali-baliktad

Masayahin ang ating Panginoon

Prayer

BibleProject | Bagong Kasunduan, Bagong Karunungan

BibleProject | Walang-Hanggang Pag-ibig ng Diyos

Sa Paghihirap…
