1
Luka MT. 9:23
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Akawaamhia wote, Atakae kuniandama, na ajikane nafsi yake, ajitwike msalaba wake killa siku, anifuate.
Paghambingin
I-explore Luka MT. 9:23
2
Luka MT. 9:24
Kwa maana mtu akitaka kuisalimisha roho yake ataiangamiza, nae atakae kuitoa roho yake kwa ajili yangu, huyu ataisalimisha.
I-explore Luka MT. 9:24
3
Luka MT. 9:62
Yesu akamwambia, Hakuna mtu aliyetia mkono wake alime, khalafu akatazama nyuma, afaae kwa ufalme wa Mungu.
I-explore Luka MT. 9:62
4
Luka MT. 9:25
Maana itamfaidia mtu nini kuupata ulimwengu wote na kujipoteza, au kupata khasara ya roho yake?
I-explore Luka MT. 9:25
5
Luka MT. 9:26
Kwa sababu killa mtu atakaenionea haya mimi na maneno yangu, Mwana wa Adamu atamwonea haya huyo atakapokuja katika utukufu wake, na wa Baba yake, na wa malaika watakatifu.
I-explore Luka MT. 9:26
6
Luka MT. 9:58
Yesu akamwambia, Mbweha wana matundu, na ndege za anga vioto vyao, bali Mwana wa? Adamu hana pa kujilaza kichwa chake.
I-explore Luka MT. 9:58
7
Luka MT. 9:48
akawaambia, Killa mtu atakaempokea kitoto hiki kwa jina langu, anipokea mimi, na killa mtu atakaenipokea mimi, ampokea yeye aliyenituma. Maana yeye aliye mdogo miongoni mwenu ninyi nyote, huyu atakuwa mkubwa.
I-explore Luka MT. 9:48
Home
Biblia
Mga Gabay
Mga Palabas