1
Luka MT. 10:19
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Tazameni, nawapeni mamlaka va kuwakanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hapana kitu kitakachowadhuru ninyi kamwe.
Paghambingin
I-explore Luka MT. 10:19
2
Luka MT. 10:41-42
Bwana akamjibu akamwambia, Martha, Martha, unajisumbua na kujifadhaisha kwa ajili ya mambo mengi: lakini kuna haja ya kitu kimoja tu, na Mariamu ameichagua sehemu iliyo njema, ambayo hataondolewa.
I-explore Luka MT. 10:41-42
3
Luka MT. 10:27
Nae akajibu akasema, Mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote; na jirani yako kama nafsi yako.
I-explore Luka MT. 10:27
4
Luka MT. 10:2
Akawaambia, Mavuno ni mengi, illakini watenda kazi wachache; mwombeni, bassi, Bwana wa mavuno, apate kupeleka watenda kazi mavunoni mwake.
I-explore Luka MT. 10:2
5
Luka MT. 10:36-37
Waonaje bassi? Katika hawa watatu yupi aliyekuwa jirani yake mwenye kuangukia katika mikono ya wanyangʼanyi? Akasema, Ni yule aliyemfanyia huruma. Yesu akamwambia, Enenda zako, nawe ukafanye kama hayo.
I-explore Luka MT. 10:36-37
6
Luka MT. 10:3
Enendeni: angalieni, nakutumeni ninyi kama wana kondoo kati ya mbwa wa mwitu.
I-explore Luka MT. 10:3
Home
Biblia
Mga Gabay
Mga Palabas