1
Luka MT. 16:10
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Aliye mwaminifu katika kile kilicho kidogo huwa mwaminifu na katika kile kilicho kikubwa: nae aliye mdhalimu katika kile kilicho kidogo, huwa mdhalimu na katika kile kilicho kikubwa.
Paghambingin
I-explore Luka MT. 16:10
2
Luka MT. 16:13
Hakuna mtumishi awezae kuwatumikia bwana wawili: maana au atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na Mamona.
I-explore Luka MT. 16:13
3
Luka MT. 16:11-12
Bassi, ikiwa hamkuwa waaminifu katika mamona ya udhalimu, nani atakaewaaminisheni mali ya kweli? Na ikiwa hamkuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, nani atakaewapeni mali iliyo yenu wenyewe?
I-explore Luka MT. 16:11-12
4
Luka MT. 16:31
Akamwambia, Wasiposikia Musa na manabii, ajapoondoka mtu katika wafu, hawatashawishwa.
I-explore Luka MT. 16:31
5
Luka MT. 16:18
Killa amwachae mkewe na kumwoa mwingine, amezini; nae amwoae yeye aliyeachwa na mumewe azini.
I-explore Luka MT. 16:18
Home
Biblia
Mga Gabay
Mga Palabas