1
Luka MT. 15:20
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Akaondoka, akaenda kwa baba yake. Alipokuwa angali mbali, baba yake akamwona, akamhurumia, akapiga mbio, akamwangukia shingoni, akambusu sana.
Paghambingin
I-explore Luka MT. 15:20
2
Luka MT. 15:24
Kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, nae amefufuka: alikuwa amepotea, nae ameonekana. Wakaanza kufanya furaha.
I-explore Luka MT. 15:24
3
Luka MT. 15:7
Nawaambieni, Kadhalika itakuwako furaha mbinguni kwa mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa wenye haki tissa na tissaini, wasiohitaji toba.
I-explore Luka MT. 15:7
4
Luka MT. 15:18
Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu, nitamwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu, na mbele yako: sistahili kuitwa mwana wako baada ya hayo
I-explore Luka MT. 15:18
5
Luka MT. 15:21
Yule mwana akamwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako; sistahili baada ya hayo kuitwa mwana wako.
I-explore Luka MT. 15:21
6
Luka MT. 15:4
Mtu gani wenu aliye na kondoo mia, akipotewa na mmoja, asiyewaacha wale tissa na tissaini jangwani, na kumwendea yule aliyepotea, hatta atakapomwona?
I-explore Luka MT. 15:4
Home
Biblia
Mga Gabay
Mga Palabas