1
1 Mose 2:24
Swahili Roehl Bible 1937
Kwa sababu hii mtu atamwacha baba yake na mama yake, agandamiane na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
เปรียบเทียบ
สำรวจ 1 Mose 2:24
2
1 Mose 2:18
Bwana Mungu akasema: Hiafai, mtu akiwa peke yake, nitamfanyizia mwenziwe wa kusaidiana naye.
สำรวจ 1 Mose 2:18
3
1 Mose 2:7
Naye Bwana Mungu alipomwumba mtu alimtengeneza na kutumia mavumbi ya nchi, kisha akampulizia puani mwake pumzi ya uzima; ndipo, mtu alipopata kuwa mwenye roho ya uzima.
สำรวจ 1 Mose 2:7
4
1 Mose 2:23
Adamu akasema: Kweli huyu ni mfupa utokao katika mifupa yangu, ni mwenye mwili utokao mwilini mwangu; kwa hiyo ataitwa mwanamke, kwa kuwa ametolewa katika mwanamume.
สำรวจ 1 Mose 2:23
5
1 Mose 2:3
kwa hiyo Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, kwa kuwa siku hiyo Mungu alizipumzikia kazi zake zote, alizozifanya za kuumba.
สำรวจ 1 Mose 2:3
6
1 Mose 2:25
Nao wote wawili, Adamu na mkewe, walikuwa wenye uchi, lakini hawakuona soni.
สำรวจ 1 Mose 2:25
YouVersion ใช้คุกกี้สำหรับการปรับแต่งการใช้งาน และประสบการณ์ของคุณ การที่คุณได้ใช้เว็บไซต์ของเรา ถือเป็นการที่คุณยอมรับวัตถุประสงค์ของการใช้คุกกี้ ซึ่งมีคำอธิบายอยู่ในนโยบายความเป็นส่วนตัวของเรา
หน้าหลัก
พระคัมภีร์
แผนการอ่าน
วิดีโอ