1
1 Wathesalonike 4:17
Neno
NEN
Baada ya hilo sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu ili kumlaki Bwana hewani, hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.
เปรียบเทียบ
สำรวจ 1 Wathesalonike 4:17
2
1 Wathesalonike 4:16
Kwa maana Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni, akitoa amri kwa sauti kuu, pamoja na sauti ya malaika mkuu, na sauti ya tarumbeta ya Mungu. Nao waliokufa wakiwa katika Kristo watafufuka kwanza.
สำรวจ 1 Wathesalonike 4:16
3
1 Wathesalonike 4:3-4
Mapenzi ya Mungu ni ninyi mtakaswe, ili mjiepushe na uasherati, na kila mmoja wenu ajifunze kuutawala mwili wake mwenyewe katika utakatifu na heshima
สำรวจ 1 Wathesalonike 4:3-4
4
1 Wathesalonike 4:14
Tunaamini kwamba Yesu alikufa na kufufuka. Na kwa hivyo, tunaamini kwamba Mungu atawaleta pamoja naye wale waliolala katika Yesu.
สำรวจ 1 Wathesalonike 4:14
5
1 Wathesalonike 4:11
Jitahidini kuishi maisha ya utulivu, kila mtu akijishughulisha na mambo yake mwenyewe na kufanya kazi kwa mikono yake, kama vile tulivyowaagiza
สำรวจ 1 Wathesalonike 4:11
6
1 Wathesalonike 4:7
Kwa maana Mungu hakutuitia uchafu, bali utakatifu.
สำรวจ 1 Wathesalonike 4:7