Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Uponyaji wa Yesu: Kuchunguza Nguvu na HurumaMfano

Uponyaji wa Yesu: Kuchunguza Nguvu na Huruma

SIKU 3 YA 12

Yesu Amponya Mwenye Kupooza

Yesu asamehe dhambi za mlemavu na kumponya. Waalimu wa sheria wanazua shaka kwa uwezo wa Yesu kusamehea dhambi.

Swali 1: Nani kati ya jamaa na marafiki unahitaji kuwaleta kwa Yesu ndiposa wapokee uponyaji na wasamehewe?

Swali 2: Elezea kuhusu wakati ambapo ulijihisi umesamehewa na Yesu na je, wakati huo ulikuwaje?

Swali 3: Je Yesu anawahikikishiaje wengine kwamba ako na mamlaka ya kuokoa dhambi na kuponya wenye maumivu?

Kuhusu Mpango huu

Uponyaji wa Yesu: Kuchunguza Nguvu na Huruma

Chunguza jinsi Yesu alivyo onyesha nguvu na huruma yake alipokuwa anaponya watu wakati alipokuwa duniani. Video fupi inaangazia mmoja wa wale watu Yesu aliponya kwa kila siku ya mpango wa sehemu 12.

More

Tungependa kuwashukuru GNPI Kenya kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.gnpi.org/tgg