Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mafundisho ya Yesu: Maamuzi yenye Hekima na Baraka ZinazodumuMfano

Mafundisho ya Yesu: Maamuzi yenye Hekima na Baraka Zinazodumu

SIKU 3 YA 7

Kuhusu Uzinzi na Talaka

Yesu anafunza kuhusu dhambi ya kuzini na masababishi ya talaka.

Swali 1: Tunwawezaje wasaidia wanao tenda uzinzi ama talaka na bado kutii neno la Mungu?

Swali 2: Uasherati na talaka vinamaanisha nini kwako?

Swali 3: Kutokana na maandiko, unafikiri Yesu angependa ufanye nini?

Kuhusu Mpango huu

Mafundisho ya Yesu: Maamuzi yenye Hekima na Baraka Zinazodumu

Yesu alifunza kuhusu mada nyingi- baraka zinazodumu, uzinzi, maombi na mengi zaidi. Ina maana gani kwa watu wa leo? Video fupi yaeleza kila upande wa hadithi kwa kila siku ya mpango huu.

More

Tungependa kuwashukuru GNPI Kenya kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.gnpi.org/tgg