Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mafundisho ya Yesu: Maamuzi yenye Hekima na Baraka ZinazodumuMfano

Mafundisho ya Yesu: Maamuzi yenye Hekima na Baraka Zinazodumu

SIKU 2 YA 7

Chumvi na Nuru

Yesu aongea kuhusu chumvi na mwanga ndiposa kufunza umati wanavyopaswa kuishi.

Swali 1: Itafananaje familia yako kuishi kama chumvi na mwanga?

Swali 2: Ni kitu gani hukuzuia kuacha mwanga wako uangaze mbele ya wengi wakati mwingine?

Ni vikapu vipi vinazuia mwangaza wako.

Swali 3: Tunaweza kufanya nini ili tuwe chumvi na nuru kwa wenzetu?

Kuhusu Mpango huu

Mafundisho ya Yesu: Maamuzi yenye Hekima na Baraka Zinazodumu

Yesu alifunza kuhusu mada nyingi- baraka zinazodumu, uzinzi, maombi na mengi zaidi. Ina maana gani kwa watu wa leo? Video fupi yaeleza kila upande wa hadithi kwa kila siku ya mpango huu.

More

Tungependa kuwashukuru GNPI Kenya kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.gnpi.org/tgg