Soma Biblia Kila Siku 02/20Mfano

Katika safari ya kwenda mbinguni, mwanadamu yeyote anakabiliwa na mtihani wa kuchagua mojawapo kati ya njia hizi mbili zilizotajwa katika somo. Njia pana ambayo wengi huipenda, inaonekana ni rahisi kuiendea, lakini mwisho wake ni upotevuni. Walimu wake huonekana kama kondoo, lakini kumbe ni hatari kama mbwa mwitu. Na njia ya pili ni nyembamba na ya kujikana kwa ajili ya Bwana Yesu. Ndiyo inayowapeleka watu kwenye uzima wa milele. Wanaopita njia hii, hutii na kusikiliza sauti ya Yesu. Wamekubali kuacha mambo ya dunia. Je, wewe umechagua njia ipi?
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 02/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo na Esta. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12/2020

MWANGA Kuvutiwa Maishani Na Mwanga Ajabu Wa Mungu

Soma Biblia Kila Siku 10/2020

Soma Biblia Kila Siku 07/2020

Kuwa Karibu Na Mungu Kila Siku

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Moyo - Neno La Mungu Hugeuza Moyo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Upendo Wa Bure
