Soma Biblia Kila Siku 10Mfano

Basi, Roho wa Bwana ilikuwa imemwacha Sauli, na roho mbaya kutoka kwa Bwana ikamsumbua(m.14). Maana yake nini? Angalia, neno halisemi kwamba Roho wa Bwana ni mbaya! Mungu ni nuru, wala giza lolote hamna ndani yake(1 Yoh 1:5). Basi tutaelewa vipi maneno haya: roho mbaya kutoka kwa Bwana ikamsumbua? Maana yake ni kwamba Bwana ni Mungu Mkuu. Mtu akiwa karibu na Mungu, nguvu za giza haziwezi kumdhuru. Lakini mtu akiachana na Mungu na ulinzi wake, Shetani hupata nafasi ya kumtesa akiruhusiwa na Mungu!
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 10 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu na kupata maelezo mafupi ya kukusaidia kuendelea kutafakari na kuelewa Neno la Mungu. Mpango huu unagusa zaidi Kitabu cha Warumi na 1 Samweli.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12/2020

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Soma Biblia Kila Siku 10/2020

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

Upendo Wa Bure

Soma Biblia Kila Siku 07/2020

Soma Biblia Kila Siku Februari 2021
