Soma Biblia Kila Siku 10Mfano

Mfalme Sauli alikuwa anataka sana kumwua Daudi. Huyo alipokuwa amejificha kwa Samweli na kundi la manabii, Sauli alipata habari, akaja ili amkamate (19:22-23). Daudi akakimbia tena, akatafuta msaada kwa rafiki yake Yonathani, mwana wa Mfalme. Alikuwa amejaa hofu: Iko hatua moja tu kati ya mimi na mauti(m.3). Inawezekana hata wewe umewahi kunusurika. Au sasa hivi unajiona u karibu na mauti, nawe unaogopa. Mpendwa, usihofu, bali umtumaini Bwana Yesu! Ujikabidhi kwake. Ni Mkuu! Akupenda! Soma Zab 91:1-16, maneno yake yatakutia moyo.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 10 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu na kupata maelezo mafupi ya kukusaidia kuendelea kutafakari na kuelewa Neno la Mungu. Mpango huu unagusa zaidi Kitabu cha Warumi na 1 Samweli.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12/2020

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Soma Biblia Kila Siku 10/2020

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

Upendo Wa Bure

Soma Biblia Kila Siku 07/2020

Soma Biblia Kila Siku Februari 2021
