Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA SITAMfano

INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA SITA

SIKU 1 YA 7

  

YESU ATULIZA TUFANI

18 Yesu alipoona makutano mengi wamemzunguka, aliwaamuru wanafunzi wake wavuke mpaka ng'ambo.

23 Naye alipoingia kwenye chombo, wanafunzi wake wakamfuata.

Ghafula kukainuka dhoruba kali baharini hata chombo kikaanza kufunikwa na mawimbi,

lakini Yesu alikuwa amelala usingizi.

Wanafunzi wake wakamwendea na kumwamsha, wakisema, 

“Bwana, tuokoe! Tunazama!”

Naye Yesu akawaambia,

“Kwa nini mnaogopa, enyi wa imani haba?”

Kisha akaamka na kukemea dhoruba na mawimbi,

"nako kukawa shwari kuu."

Wale watu wakashangaa, wakisema, 

“Ni mtu wa namna gani huyu? Hata upepo na mawimbi vinamtii!”

Andiko

siku 2

Kuhusu Mpango huu

INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA SITA

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadi...

More

Tunapenda kushukuru GNPI Afrika kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://gnpi-africa.org

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha