Zaburi 82:3-4 - Compare All Versions
Zaburi 82:3-4 BHN (Biblia Habari Njema)
Wapeni wanyonge na yatima haki zao; tekelezeni haki za wanaoonewa na fukara. Waokoeni wanyonge na maskini, waokoeni makuchani mwa wadhalimu.
Shirikisha
Zaburi 82 BHNZaburi 82:3-4 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Mfanyieni hukumu maskini na yatima; Mtendeeni haki aliyeonewa, na fukara; Mwokoeni maskini na mhitaji; Mwopoeni mikononi mwa wadhalimu.
Shirikisha
Zaburi 82 SRUVZaburi 82:3-4 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mfanyieni hukumu maskini na yatima; Mtendeeni haki aliyeonewa na fukara; Mwokoeni maskini na mhitaji; Mwopoeni mikononi mwa wadhalimu.
Shirikisha
Zaburi 82 SUVZaburi 82:3-4 NEN (Neno)
Teteeni wanyonge na yatima, tunzeni haki za maskini na waliodhulumiwa. Mwokoeni mnyonge na mhitaji, wakomboeni kutoka mkononi mwa mwovu.
Shirikisha
Zaburi 82 NEN