Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 82:3-4

Zaburi 82:3-4 BHN

Wapeni wanyonge na yatima haki zao; tekelezeni haki za wanaoonewa na fukara. Waokoeni wanyonge na maskini, waokoeni makuchani mwa wadhalimu.

Soma Zaburi 82