Zaburi 119:78-80
Zaburi 119:78-80 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Wenye kiburi waaibike, maana wamenidhulumu kwa uongo, Mimi nitayatafakari mausia yako. Wakuchao na wanirudie, Nao watazijua shuhuda zako. Moyo wangu na uwe mkamilifu katika amri zako, Nisije mimi nikaaibika.
Shirikisha
Soma Zaburi 119Zaburi 119:78-80 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Wenye majivuno na waaibishwe kwa kunikosea mimi bila sababu, lakini mimi nitatafakari juu ya mausia yako. Wale wakuchao na wanigeukie mimi, hao ambao wanazielewa sheria zako. Moyo wangu usiwe na lawama katika kutii maagizo yako, ili nisiaibishwe.
Shirikisha
Soma Zaburi 119