Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:78-80

Zaburi 119:78-80 BHN

Wenye kiburi waaibike kwa maana wamenifanyia hila, lakini mimi nitazitafakari kanuni zako. Wote wakuchao na waje kwangu, wapate kuyajua maamuzi yako. Moyo wangu na uzingatie masharti yako, nisije nikaaibishwa.

Soma Zaburi 119