Zaburi 103:5-6
Zaburi 103:5-6 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
atosheleza mahitaji yako kwa vitu vyema, ili ujana wako uhuishwe kama wa tai. BWANA hutenda haki, naye huwapa hukumu ya haki wote wanaoonewa.
Shirikisha
Soma Zaburi 103Zaburi 103:5-6 Biblia Habari Njema (BHN)
Ndiye anayeniridhisha mema maisha yangu yote, hata nabaki kijana mwenye nguvu kama tai. Mwenyezi-Mungu huhukumu kwa haki; huwajalia wanaodhulumiwa haki zao.
Shirikisha
Soma Zaburi 103