Mathayo 6:5
Mathayo 6:5 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
“Nanyi msalipo, msiwe kama wanafiki, maana wao hupenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Amin nawaambia, wao wamekwisha kupata thawabu yao.
Shirikisha
Soma Mathayo 6Mathayo 6:5 Biblia Habari Njema (BHN)
“Mnaposali, msifanye kama wanafiki. Wao hupenda kusimama na kusali katika masunagogi na katika pembe za njia ili watu wawaone. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao.
Shirikisha
Soma Mathayo 6