Mathayo 6:5
Mathayo 6:5 Biblia Habari Njema (BHN)
“Mnaposali, msifanye kama wanafiki. Wao hupenda kusimama na kusali katika masunagogi na katika pembe za njia ili watu wawaone. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao.
Shirikisha
Soma Mathayo 6Mathayo 6:5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Tena msalipo, msiwe kama wanafiki; kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia, Wamekwisha kupata thawabu yao.
Shirikisha
Soma Mathayo 6