Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 6:5

Mathayo 6:5 NENO

“Nanyi mnaposali, msiwe kama wanafiki, maana wao hupenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kando ya barabara ili waonekane na watu. Amin nawaambia, wao wamekwisha kupokea thawabu yao.