Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 6:5

Mathayo 6:5 BHN

“Mnaposali, msifanye kama wanafiki. Wao hupenda kusimama na kusali katika masunagogi na katika pembe za njia ili watu wawaone. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao.