Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kumbukumbu la Sheria 31:8 - Compare All Versions

Kumbukumbu la Sheria 31:8 BHN (Biblia Habari Njema)

Mwenyezi-Mungu ndiye anayewaongoza; yeye atakuwa pamoja nanyi; yeye hataacha kuwasaidia na hatawatupa. Hivyo, msiogope wala msifadhaike.”

Kumbukumbu la Sheria 31:8 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Naye BWANA, yeye ndiye atakayekutangulia, atakuwa pamoja nawe, hatakupungukia wala kukuacha; usiogope wala usifadhaike.

Kumbukumbu la Sheria 31:8 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Naye BWANA, yeye ndiye atakayekutangulia, atakuwa pamoja nawe, hatakupungukia wala kukuacha; usiogope wala usifadhaike.

Kumbukumbu la Sheria 31:8 NEN (Neno)

BWANA mwenyewe atakutangulia naye atakuwa pamoja nawe; kamwe hatakuacha wala hatakutupa. Usiogope, wala usifadhaike.”