Kumbukumbu la Sheria 31:8
Kumbukumbu la Sheria 31:8 Neno: Bibilia Takatifu 2025 (NENO)
BWANA mwenyewe atakutangulia naye atakuwa pamoja nawe; kamwe hatakuacha wala hatakutupa. Usiogope, wala usifadhaike.”
Shirikisha
Soma Kumbukumbu la Sheria 31Kumbukumbu la Sheria 31:8 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Naye BWANA, yeye ndiye atakayekutangulia, atakuwa pamoja nawe, hatakupungukia wala kukuacha; usiogope wala usifadhaike.
Shirikisha
Soma Kumbukumbu la Sheria 31Kumbukumbu la Sheria 31:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Mwenyezi-Mungu ndiye anayewaongoza; yeye atakuwa pamoja nanyi; yeye hataacha kuwasaidia na hatawatupa. Hivyo, msiogope wala msifadhaike.”
Shirikisha
Soma Kumbukumbu la Sheria 31Kumbukumbu la Sheria 31:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Naye BWANA, yeye ndiye atakayekutangulia, atakuwa pamoja nawe, hatakupungukia wala kukuacha; usiogope wala usifadhaike.
Shirikisha
Soma Kumbukumbu la Sheria 31Kumbukumbu la Sheria 31:8 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Naye BWANA, yeye ndiye atakayekutangulia, atakuwa pamoja nawe, hatakupungukia wala kukuacha; usiogope wala usifadhaike.
Shirikisha
Soma Kumbukumbu la Sheria 31