Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 6:2

Mathayo 6:2 BHN

“Basi, unapomsaidia maskini, usijitangaze. Usifanye kama wanafiki wafanyavyo katika masunagogi na njiani ili watu wawasifu. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao.