Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 4:6

Mathayo 4:6 BHN

akamwambia, “Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini; maana imeandikwa: ‘Mungu atawaamuru malaika wake kwa ajili yako; watakuchukua mikononi mwao, usije ukajikwaa kwenye jiwe.’”