Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Tito 1:16

Tito 1:16 BHN

Watu kama hao hujidai kwamba wanamjua Mungu, lakini kwa matendo yao humkana. Ni watu wa kuchukiza mno na wakaidi, hawafai kwa jambo lolote jema.