Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 6:20-21

Waroma 6:20-21 BHN

Mlipokuwa watumwa wa dhambi mlikuwa huru mbali na uadilifu. Sasa, mlipata faida gani siku zile kutokana na mambo yale ambayo mnayaonea aibu sasa? Maana, matokeo ya mambo haya ni kifo!

Video ya Waroma 6:20-21