Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 2:21-22

Waroma 2:21-22 BHN

Basi, wewe unawafundisha wengine; kwa nini hujifundishi wewe mwenyewe? Unawahubiria wengine wasiibe, lakini kumbe wewe mwenyewe unaiba. Unasema: “Msizini,” na huku wewe unazini; unachukia sanamu za miungu hali wewe unajitajirisha kwa kuiba katika nyumba za miungu.

Video ya Waroma 2:21-22