Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 32:1-2

Zaburi 32:1-2 BHN

Heri yake mtu aliyesamehewa kosa lake, mtu ambaye dhambi yake imeondolewa kabisa. Heri mtu ambaye Mwenyezi-Mungu hamwekei hatia, mtu ambaye hana hila moyoni mwake.

Soma Zaburi 32