Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 32:1-2 - Compare All Versions

Zaburi 32:1-2 BHN (Biblia Habari Njema)

Heri yake mtu aliyesamehewa kosa lake, mtu ambaye dhambi yake imeondolewa kabisa. Heri mtu ambaye Mwenyezi-Mungu hamwekei hatia, mtu ambaye hana hila moyoni mwake.

Shirikisha
Zaburi 32 BHN

Zaburi 32:1-2 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Heri aliyesamehewa dhambi, Na kusitiriwa makosa yake. Heri BWANA asiyemhesabia upotovu, Ambaye rohoni mwake hamna hila.

Shirikisha
Zaburi 32 SUV

Zaburi 32:1-2 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Heri aliyesamehewa dhambi, Na kuondolewa makosa yake. Heri ambaye BWANA hamhesabii hatia, Na ambaye rohoni mwake hamna hila.

Shirikisha
Zaburi 32 SRUV

Zaburi 32:1-2 NEN (Neno)

Heri mtu aliyesamehewa makosa yake, ambaye dhambi zake zimefunikwa. Heri mtu yule ambaye BWANA hamhesabii dhambi, na ambaye rohoni mwake hamna udanganyifu.

Shirikisha
Zaburi 32 NEN