Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:22-24

Zaburi 119:22-24 BHN

Uniepushe na matusi na madharau yao, maana nimeyazingatia maamuzi yako. Hata kama wakuu wanakula njama dhidi yangu; mimi mtumishi wako nitayatafakari maamuzi yako. Masharti yako ni furaha yangu; hayo ni washauri wangu.

Soma Zaburi 119