Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:17-19

Zaburi 119:17-19 BHN

Unitendee mimi mtumishi wako kwa ukarimu, nipate kuishi na kushika neno lako. Uyafumbue macho yangu, niyaone maajabu ya sheria yako. Mimi ni mkimbizi tu hapa duniani; usinifiche amri zako.

Soma Zaburi 119