Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 112:1-3

Zaburi 112:1-3 BHN

Msifuni Mwenyezi-Mungu! Heri mtu anayemcha Mwenyezi-Mungu, anayefurahia sana kutii amri zake. Wazawa wake watakuwa wenye nguvu nchini; watoto wa wanyofu watapata baraka. Nyumbani kwake kutakuwa na mali nyingi; uadilifu wake wadumu milele.

Soma Zaburi 112