Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 112:1-3

Zaburi 112:1-3 SRUV

Haleluya. Heri mtu yule amchaye BWANA, Apendezwaye sana na maagizo yake. Wazawa wake watakuwa hodari duniani; Kizazi cha wenye adili kitabarikiwa. Nyumbani mwake mna utajiri na mali, Na haki yake yadumu milele.

Soma Zaburi 112