Methali 27:7-9
Methali 27:7-9 BHN
Aliyeshiba hata asali huikataa, lakini kwa mwenye njaa kila kichungu ni kitamu. Mtu aliyepotea mbali na kwake, ni kama ndege aliyepotea mbali na kiota chake. Mafuta na manukato huufurahisha moyo, lakini taabu hurarua roho.