Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 20:2-3

Methali 20:2-3 BHN

Ghadhabu kali ya mfalme ni kama simba angurumaye; anayemkasirisha anayahatarisha maisha yake. Ni jambo la heshima kuepa ugomvi; wapumbavu ndio wanaogombana.

Soma Methali 20