Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 19:8-9

Methali 19:8-9 BHN

Ajipatiaye hekima anaipenda nafsi yake; anayezingatia busara atastawi. Shahidi mwongo hatakosa kuadhibiwa; asemaye uongo ataangamia.

Soma Methali 19