Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 19:10-12

Methali 19:10-12 BHN

Haifai kwa mpumbavu kuishi kwa anasa, tena ni vibaya zaidi mtumwa kuwatawala wakuu. Mwenye busara hakasiriki upesi; kusamehe makosa ni fahari kwake. Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya simba, lakini wema wake ni kama umande juu ya majani.

Soma Methali 19