Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 13:24-25

Methali 13:24-25 BHN

Asiyemwadhibu mtoto wake hampendi; lakini ampendaye mwanawe humrudi mapema. Mwadilifu anacho chakula cha kumtosheleza, lakini tumbo la waovu hutaabika kwa njaa.

Soma Methali 13