Methali 13:24-25
Methali 13:24-25 BHN
Asiyemwadhibu mtoto wake hampendi; lakini ampendaye mwanawe humrudi mapema. Mwadilifu anacho chakula cha kumtosheleza, lakini tumbo la waovu hutaabika kwa njaa.
Asiyemwadhibu mtoto wake hampendi; lakini ampendaye mwanawe humrudi mapema. Mwadilifu anacho chakula cha kumtosheleza, lakini tumbo la waovu hutaabika kwa njaa.