Methali 13:17-19
Methali 13:17-19 BHN
Mjumbe mbaya huwatumbukiza watu taabuni, lakini mjumbe mwaminifu huleta nafuu. Umaskini na fedheha humpata asiyejali mafundisho, lakini mwenye kusikia maonyo huheshimiwa. Inafurahisha upatapo kile unachotaka, kwa hiyo wapumbavu huchukia kuepa uovu.