Methali 10:3-4
Methali 10:3-4 BHN
Mwenyezi-Mungu hawaachi waadilifu wapate njaa, lakini huzipinga tamaa za waovu. Uvivu husababisha umaskini, lakini mkono wa mtu wa bidii hutajirisha.
Mwenyezi-Mungu hawaachi waadilifu wapate njaa, lakini huzipinga tamaa za waovu. Uvivu husababisha umaskini, lakini mkono wa mtu wa bidii hutajirisha.