Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 10:3-4

Methali 10:3-4 BHN

Mwenyezi-Mungu hawaachi waadilifu wapate njaa, lakini huzipinga tamaa za waovu. Uvivu husababisha umaskini, lakini mkono wa mtu wa bidii hutajirisha.

Soma Methali 10