Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 10:13-14

Methali 10:13-14 BHN

Kinywani mwa mwenye ufahamu mna hekima, lakini wasio na akili watachapwa viboko mgongoni. Wenye hekima huhifadhi maarifa, lakini kuropoka kwa mpumbavu huleta maangamizi haraka.

Soma Methali 10